My Blog List

Wednesday, September 21, 2005

MKAPA ATAFUNGUA MASIKIO JUU YA MAPURI?

Kama ni shinikizo basi hili linatakiwa likazaniwe kabisa. Nilisema wiki iliyopita kwamba kuna wanasiasa wanachezea wananchi wa Tanzania.
Huu ni wakati wa Mapuri kung'oka kabisa; hatuwezi kuwa na waziri asiyejua nini maana ya utu.Nawapongeza wananchi kwa kuonesha bofya hapa jinsi gani mlivyochoka na huyu mheshimiwa.

No comments: