My Blog List

Tuesday, September 13, 2005

CUF HILI MNATUDANGANYA SASA

Kama kawaida watanzania kutokana na sijui niseme ni kuonekana mbumbumbu sana au vipi ila mimi sidhani kama kuna serikali ya Tanzani itakayoweza kusomesha bure elimu ya sekondari. Ukizingatia idadi kubwa ya wanafunzi tunahitaji shule nyingi sana na hapa kwa kutumia mbinu za kileo nafikiri chama cha CUF kinadanganya. Bofya hapa uniambie je inawezekana?

No comments: