My Blog List

Tuesday, September 13, 2005

KICHAPO KWA WANAHABARI KITAENDELEA

Waandishi wa habari Tanzania wataendelea kubomondwa mpaka pale watakapoamua kwa dhati kutumia kalamu zao inavyopaswa. Sitashangaa kama waziri na baadhi ya vigogo waliohusika na kitendo cha unyanyaswaji wa wanahabari watabaki huru wala sheria haitawagusa kwani tumezoea Tanzania tunapiga mdomo kwa muda alafu tunasahau.
Mpaka wanahabari watakapoamua kuleta mapinduzi ndipo mambo kama haya(bofya hapa)yatakwisha.

No comments: