My Blog List

Sunday, September 18, 2005

KURA YA MAONI KENYA VURUGU TU

Huko Kenya kuna harakati nyingi hasa za kupiga kura ya maoni juu ya kuundwa katiba mpya. Tanzania bado tunatumia katiba ya zamani na tutaendelea kuijaza viraka ili iendelee kufaa. Tahadhari lakini kama mtu anafikiri kuunda katiba mpya ni jambo jrahisi basi soma hapa uone ni jinsi gani wanasiasa wa Kenya wanavyotapatapa. Nakwambia kuwa mwanasiasa Afrika ni sawa na kuamua kushusha hadhi yako kabisa.Yanayotokea huko si mambo ya kutia moyo sana.

No comments: