My Blog List

Sunday, November 20, 2005

UTANDAWAZI HATUWEZANI NAO-WATANZANIA

Rais anayemaliza muda wake amekuwa akisisitiza watu wenye mali Tanzania kukopa benki ili kufanya biashara.Hii ni hatua nzuri isipokuwa kama hakuna usimamizi mzuri wa fedha mambo yatakwenda kombo.
Siku za hivi karibuni ile kampuni ya mabasi Scandinavia soma imeingia katika malumbano ya madai na inavyoonekana mambo si shwari.Huwa nikija huku nasafiri na kampuni hii sasa nasikia inataka kufilisiwa. Jamani watanzania tunani?Tuna udhaifu wa kusimamia shughuli mbalimbali hebu tizama jiji la Dar limekuwa na mgawo wa umeme kwa mwezi sasa.Sio IPTL wala Netgroup Solution imekuwa jibu. soma
Tumekwisha.

No comments: