My Blog List

Sunday, November 13, 2005

SIASA ZA KIJESHI UGANDA

Hapa Uganda kwa mara nyingine tena inaonekana wanajeshi hawatang'atuka na watafanya kila wawezalo kumlinda bwana Museveni. Wiki iliyopita, Mkuu wa Majeshi hapa alitoa mpya kudhihirisha kuwa Museveni asipingwe na atakayejaribu kumpinga atashughulikiwa.
Leo kuna uchambuzi mzuri wa athari za kauli ya mkuu wa majeshi. Somahapa uone je kweli Uganda inaelekea kwenye demokrasia?

No comments: