My Blog List

Sunday, November 06, 2005

DEMOKRASIA UGANDA NI NDOTO

Pamoja na kwamba mwanasiasa wa upinzani wa Uganda, Dr. Kiiza Besyigye amerudi hapa baada ya kuishi uhamishoni, nchini Afrika kusini kwa miaka minne, tayari kuna wasiwasi baada ya chama chake cha FDC kufanya uteuzi wa viongozi wake na kupanga safu ya uongozi kupambana na Museveni.
Chama tawala hapa NRMO cha Museveni, kimejengwa chini ya jina la mtu kama mali yake na sio kama taasisi ya watu.Ila la kushangaza nimegundua hata hiki chama cha Besyige, FDC, ni kama cha Museveni tu.Soma hapa uone ni kwa jinsi gani Uganda ina safari ndefu kupata demokrasia.

No comments: