My Blog List

Wednesday, December 29, 2010

CHENGE AHUKUMIWA JELA MIAKA MITATU (3)



Pichani ni Mheshimiwa Chenge akifurahia baada ya kuhukumiwa. Picha nyingine ni ndugu wa Mheshimiwa wakihesabu mahela kulipa faini ya kiasi cha shilingi 700,000/= za kitanzania ili kuepuka kwenda lupango miaka mitatu baada ya kukutwa na kosa la: 1.KUENDESHA GARI BILA UANGALIFU
2.KUENDESHA GARI LENYE BIMA YA KUGUSHI(iliyokwisha muda wake)
3.KUSABABISHA VIFO VYA WATU WAWILI.
Utawala wa sheria na haki umetimiza wajibu wake. Mungu Ibariki Tanzania

2 comments:

Simon Kitururu said...

Ama kweli!
Mungu Ibariki Tanzania!


Mkuu nakutakia mwaka 2011 mwema!

Innocent Kasyate said...

Mkuu, ndio utawala wa sheria, yaani inafurahisha.
Heri ya mwaka mpya na wewe baba.