My Blog List

Thursday, October 27, 2005

MANENO YA MWISHO YA OBOTE KABLA YA KIFO

Hii ni makala muhimu kwa wale wote wanaopenda kumjua halisi hayati Milton Obote, raisi wa kwanza wa Uganda aliyefariki hivi karibuni.Kwa mara ya mwisho kabla ya kufariki aliwahi kufanya mahojiano na kuongelea hisia zake juu ya maisha yake kwa ujumla.
Ukisoma hapa utajua taabu na raha za uraisi katika bara la Afrika.Na ningependa maoni yako msomaji kama kweli huyu bwana ni mwanaafrika halisi au ni ubabaishaji tu.

No comments: