My Blog List

Thursday, October 27, 2005

"MASTAA WA BONGO" KATIKA SIASA

Umuhimu wa wagombea wenye sifa ni jambo la maana sana katika uchaguzi wowote ule.Ndio maana mimi siungi mkono kabisa wasanii na wanamichezo wasio na haiba hasa ya kielimu kuchaguliwa viongozi kupitia mifumo ya kidemokrasia.
Najua ni haki ya kila mtu lakini nafikiri kuchaguliwa ni zaidi ya hapo.Hebu tizama kisa hiki cha wale tunaowaita mastaa wa bongo binya hapa anajaribu pia bahati yake.Jamani naomba mchangie kwa maoni mnaonaje hili?

No comments: