My Blog List

Saturday, October 22, 2005

Tukiwa tumemaliza kumkumbuka Mwalimu Nyerere hivi majuzi tu, rafikiye wa karibu ambaye inaaminika ni miongoni mwa wale wakombozi wa bara hili, Milton Obote alifariki.Leo sitazungumzia sana kwani mengi nitasema wiki ijayo.
Ila nimevutwa na ile paper ya Profesa Harob Othman aliyowasomea wanafunzi wa Chuo kikuu cha Cape Town juu ya Mwalimu.Wakati nikipitia globu ya PAMBAZUKO sikusita kuiweka katika ukurasa wangu.Kong'oli hapa uisome kama una muda. Namshukuru Nkya kwa kuniwezesha.

No comments: