My Blog List

Wednesday, September 28, 2011

RAIS MPYA ZAMBIA AKARIBISHWA IKULU




Rais mpya wa Zambia bw Sata amekaribishwa Ikulu na kukabidhiwa rasmi mjengo na Rais wa zamani Banda. Hawa jamaa wamepiga hatua sana kidemokrasia.
Serikali mpya tayari imeanza kazi kwa kudhibiti matumizi mabaya ya mali za umma. Kwa mfano, kumbe chama tawala MMD kilikuwa kinatumia magari ya jeshi kwa kampeni. Magari hayo yamekamatwa yote.

1 comment:

Setia said...

Eta naha mani didodorong sagala? Karunya nya...