My Blog List

Thursday, September 22, 2011

UCHAGUZI ZAMBIA NA VIMBWANGA VYA UCHAKACHUAJI

Uchaguzi umemalizika Zambia, lakini kama kawaida, Afrika, hakuna uchaguzi msafi. Kuna kila dalili za uchakachuaji na amani tayari umeanza kuleta dalili za kuvurugika kwa amani. Bofya hapa, upate habari kamili.
Hivi si inawezekana Afrika tunahitaji democrasia ya kiafrika na si hii ya vyama vingi kupiga kura. Naona watawala wanapenda chama kimoja. Wadau mnaonaje?

No comments: