Hii ni globu iliyovumbuliwa nchini Uganda na inaendeleza kazi zake sasa nchini Tanzania: inajaribu kukazia matumizi ya lugha ya kiswahili na kuhabarishana kuhusu maswala mbalimbali ya kujamii hasa katika ukanda wa Afrika Mashariki na kati. Siasa na mambo ya michezo na kijamii kwa ujumla ndio itakayokuwa mada kuu hapa.Nitakaribisha maoni yenu.
0 comments:
Post a Comment