My Blog List

Sunday, November 21, 2010

DU! CHADEMA AU CCM, NANI YUKO SAHIHI?

Eti Jakaya Kikwete alichaguliwa kwa udini au siasa? Je ni kweli kuna udini Tanzania? Kuna jamaa kajadili hapa, kasheshe kwelikweli. Hii demokrasia yetu bwana, ina vituko sana,yaani kama ni kweli Raisi anajiandaa kufanya uteuzi huku baadhhi ya wabunge wanamshinikiza ni wizara ipi awape. Hapa Rais wa nchi ni yupi? Anayejichagulia cheo au anayetoa cheo? Jiulizeni.

Kuna madai kuwa wabunge wa chadema wamegawanyika wengine wakiona kuwa walikosea. Huu ni wakati wabunge waelewe kuwa in order to prevent the country not been thrown to the dogs completely, ni wakati wa ujasiri. Kama ni kweli Chadema wako makini na wana dhamira basi tutarajie kuwa tanaweza shuhudia maandamano na hata mikutano ya hadhara tena siku si nyingi. Nchi imefika mahali panapohitaji mkombozi na ni vyema wajiandae, kwani kuwa upinzani si kupiga makofi tu mjengoni bali ni kazi haswa.

Kitendo cha Chadema kina asili ya kihistoria.

No comments: