My Blog List

Saturday, December 10, 2005

MSUMARI WA MWISHO KATIKA JENEZA LA DR. BESIGYE

Kama nilivyokwisha tabiri siku kadhaa zilizopita hatimaye serikali ya Uganda imegongelea msumari wa mwisho katika jeneza--na kuthibitisha kuwa Dr. Kiiza Besigye hatagombea uraisi katika uchaguzi mkuu ujao hapo mwakani.
Nimeona niwaletee barua maalum iliyoandikwa na mwanasheria mkuu wa Uganda ili mjue kabisa sasa ile ndoto ya kumuondoa dikteta hapa Uganda imekwisha. SOMA
Ninachokiona hapa ni kwamba itakuwaje sasa manake sasa tuturajie mapambano na sijui yatakuwa ya aina gani manake yale ya kisheria inaonekana chama cha upinzani kimeshapoteza kabisa.

1 comment:

FOSEWERD Initiatives said...

e bwanaeee mbona hutupi walivyomuachia besyige?

happy new year!

cheers