My Blog List

Thursday, December 08, 2005

UHUSIANO NA AKINA MAMA-- KIZUIZI CHA URAISI AFRIKA

Kama unataka kuwa rais wa nchi yeyote Afrika lazima uwe kati ya wale wateule la sivyo uwe mtakatifu. Nasema uwe mtakatifu kwani ni lazima uwe hajawahi hata kuwa na uhusiano na binti au mwanamama yeyote katika maisha yako. Kinyume na hapo kesi za ubakaji au udhalilishaji wa wanawake zitakukumba na ndoto yako ya kuwa rais itakwisha. Jacob Zuma, anakubali kuwa alifanya mapenzi na mwanamama fulani kwa makubaliano lakini anashangazwa na tuhuma za rushwa. somahapa
Haya ndio yanayowakumba Dr. Kiiza Besigye na Zuma wa huko Afrika kusini. Hadi sasa ni tuhuma lakini kwa hali ilivyo inanifanya niamini kuna ukweli ila hila zinatumika kubadili uhusiano wa makubaliano kati ya watu wawili kuwa ni ubakaji. Hebu soma hii habari ya mashtaka ya Zuma ujionee mwenyewe. soma

No comments: