My Blog List

Saturday, December 03, 2005

HAWA NDIO WASHIKA DAU.

MAJENERALI WA UGANDA: (L-R) David Tinyefuza, Salim Saleh and Elly Tumwine : Hawa ndio washika dau wakuu hapa Uganda. Hakuna cha wanasiasa, hapa lazima uwe mwanajeshi ndio uweze kuwa mshika dau katika siasa.
Anayeonekana kulia ndio jaji wa mahakama ya kijeshi inayomshtaki Dr.Kiiza Besigye. Wa katikati ni mdogo wake rais Museveni na inaaminika ni kati ya watu matajiri sana hapa na ni askari shupavu.

No comments: