My Blog List

Sunday, December 04, 2005

MBOWE ANAVYOANDAMWA NA WA-TWAWALA

Freeman Mbowe anataka kuingia Ikulu; na inavyosemekana anawakilisha kizazi kipya(sio wanamuziki wa bongo flava) katika siasa za Tanzania.
Huyu bwana inasemekana anawapa maumivu ya kichwa sana waheshimiwa wa chama cha wa-twawala(CCM). Hevu soma hapa uone ni jinsi gani ukijaribu kupambana na wa-twawala wakati wewe huna tabia zao watapambana na wewe sawasawa. Inasemekana Mbowe anaipata fresh.

1 comment:

Innocent Kasyate said...

Nimejaribu na maoni yanakwenda.