My Blog List

Monday, January 07, 2008

UTATA WA KENYA

Chanzo cha machafuko Kenya ni hiki;machafuko haya yanafananishwa na hali ya Pakistan. Pia Yesu kristu kagusiwa juu ya utata wa Kenya. Kutokuwa na machafuko haina maana eti kuna amani kama tunavodhani. Unajua madaraka yanapendwa sana na vigogo ila pia hata masikini imedhihirika Kenya.

Lakini Kibaki alisahau amani bila haki haiwezekani. Lazima tukubali demokrasia ni gharama.

No comments: