My Blog List

Wednesday, January 02, 2008

KIU YA UONGOZI TATIZO LA WAZEE KAMA KIBAKI

Uchaguzi Kenya umekwisha kwa mizengwe lakini mambo ni mabaya kabisa. Ni wakati wa viongozi wa Kenya kufikiri sana. Mwanazuoni mmoja anatoa ni kwa vipi wanasiasa walikuwa wamejisahau.
Pia vurugu za Kenya ni chanzo cha madhara eneo zima la Afrika Mashariki. Kwa waganda wanajiuliza je ni Uganda ina demokrasia zaidi ya Kenya?

No comments: