My Blog List

Wednesday, January 30, 2008

KIIZA BESIGYE NA MWAKA 2008

Kiiza Besyige anajulikana sana Uganda. Leo bado ni mwiba mkubwa kwa jeshi la uganda na anadai analijua wazi. Hivi tunajua ilimbidi amwache rafiki wake wa kike ili kujiunga na Museveni msituni na kuacha fani ya udaktari?
Kama unataka kujua madhara ya kupingana na Museveni, basi ona haya yaliyowakumba hawa waliojaribu.

No comments: