My Blog List

Saturday, July 21, 2007

MU 7 HANA LENGO LA URAIS WA EAC

Rais Museveni ameamua kukanusha eti ana maslahi katika jumuiya ya Afrika Mashariki, yaani anataka kuwa Rais wa kwanza kama inavyosemkana licha ya hivi majuzi kufanya ziara kwa gari katika nchi zote tatu.
Pili kuhusu jumuiya ni vyema tukamfahamu spika wa sasa wa bunge la jumuiya.

No comments: