My Blog List

Tuesday, March 27, 2007

MAKAMU WA RAIS UGANDA NA HAWARA!

Ms NAKKU, Prof. BUKENYA AND THE MAFI
Zile harakati za kutia nyongo harakati za Makamu wa Rais wa Uganda ili asimrithi Museveni zinaendelea, hapa kajitokeza Mwanamama mmoja na kudai eti yeye mke wa pili wa Profesa Bukenya.
Haya yote ni kule kuonesha kuwa viongozi wetu na jamii kwa ujumla kuna tatizo la kimaadili. Zaidi ya maadili pia eti kuna maadui wa Bukenya wanataka kumuangusha. Yeye anadai eti ni mafia ndani ya serikali, je ni kweli?
Tunalojiuliza ni hivi kweli atapona na kashfa hii huyu bwana?Na je kuna uwezekano wa Mganda kuwa Raisi?

No comments: