My Blog List

Tuesday, March 27, 2007

SIASA ZIMBABWE SAWA NA UGANDA?

Hali ya kisiasa ya Zimbabwe inalinganishwa na Uganda kwa kiasi fulani.Je Waingereza wajinyonge atakavyo Mugabe? Wiki hii Bunge ndani ya harakati za Jenet Museveni,(mke wa rais) lilizima juhudi za kumjadili na kumlaani Mugabe.
Museveni naye inasemekana anao mawaziri ambao hawatakaa waachishwe nyadhifa zao.Tunakumbushwa pia umuhimu wa nidhamu katika siasa.
Mwisho hebu tujisomee kwanini demokrasia imeichafua Afrika kwa sana? Andrew Mwenda, ni mwandishi maarufu na makini ana mengi ya kutuambia. Ndio maana Museveni anadaiwa kuwa kibaraka wa Bush huko Somalia.

No comments: