My Blog List

Saturday, March 17, 2007

AFYA ZETU TWAZIJALI?

Kabla ya kuangalia afya hebu tuone Naibu Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki anasemaje juu ya muungano huu?Na ni jinsi gani majeshi ya Uganda yana umuhimu huiko Somalia?
Leo tuangalie afya, hasa juu ya mambo ambayo wengine twafikiri ni urembo kumbe liipo jambo hasa kwa wanawake ambao hawatakiwi kuvaa mini skirt.Pia je kutoa mimba sawa?Pia ni jinsi gani kusevu pesa kunawezekana?
Siasa je unajua ile report ya tatizo la PRA?Maajabu ya maadili kwenda likizo, hata Mufti Mkuu mdanganyifu?Ni vizuri pia tujue wanasiasa maarufu wana historia gani?
Mwisho juu ya wazazi wetu, je kuna haja ya kuwajali?

No comments: