My Blog List

Saturday, April 07, 2007

HERI YA PASAKA

Ni Pasaka hivyo hatuna budi kujua sikukuu hii husheherekewa vipi na jamii mbalimbali duniani?
Huko Uganda bado kasheshe la uuzaji wa msitu wa Mabira linaendelea.Limesababisha mfalme wa kabila la Baganda Ronald Mutebi kuja juu na kukataa uuzaji huo ndani ya Mahakama ya Kikatiba ya Uganda.Hii inasababishwa pia na tishio la hali ya hewa kuchafuka duniani. Wanasiasa ni watu wa ajabu kwelikweli, Museveni aliwahi kusema atalinda mazingira lakini leo hii anayabomoa kwa kuuza msitu huu.
Ujumbe wa pasaka eti Mbeki.

No comments: