My Blog List

Saturday, March 10, 2007

MAJAJI WAMALIZA MGOMO

Baada ya ile sinema ya Iddi Amin kushinda Oscar, hali ya kisiasa nchini Uganda inaonesha wazi sinema nyingine tayari imeanza kutengenezwa. Kwanza soma ni vipi mwanaye Iddi Amin alivyomfahamu baba yake?Imeshangaza sana hata majaji wanaweza kugoma.Unaambiwa mgomo umekuwa na athari zake kwelikweli. Waganda inabidi waje tena MOSHI kwa majadiliano upya.
Ni vizuri tujue kasheshe lililosababisha majaji kugoma Uganda na ni jinsi gani demokrasia imechafuliwa?
Mwisho ni hii simu mpya ya I Pod.

No comments: