My Blog List

Friday, December 15, 2006

MKE WA MUSEVENI KATIKA UGOMVI KUMTETEA MUMEWE

Mke wa rais Museveni ambaye ni mbunge jana inasemekana karushiana maneno makali na mwanamama mmoja wa shoka wa chama cha upinzani katika kile kinachoonekana kutetea rekodi mbovu ya mumewe ndani ya bunge.
Alafu unajua kwanini maprofesa wa Makerere wamegoma? Soma haya.

No comments: