My Blog List

Thursday, December 07, 2006

JK AIGE KUTOKA KWA CALDERON WA MEXICO

Kama kweli Tanzania inapenda maendeleo tunahitaji kiongozi kama huyu aliyechaguliwa huko Mexico majuzi. JK angekuwa namna hii na akatekeleza basi tunaweza kufanikisha "Maisha bora kwa kila Mtanzania".
Vinginevyo JK anatania tu.

No comments: