My Blog List

Tuesday, December 19, 2006

JK NA JINAMIZI LA CCM NDANI YA MWAKA MMOJA IKULU

JK sasa anaanza kuona ukweli halisi wa bongo kuwa tatizo liko kwenye CCM. Hili ni jinamizi ambalo JK ana kazi ngumu kuliondoa manake ncchi imeoza na itagharimu Taifa sana kuweza kuondoa hayo ambayo JK kakemea jana.

No comments: