My Blog List

Monday, February 27, 2006

UCHAGUZI SAFI KWA VIWANGO VYA KIAFRIKA

Leo nimeona niwape habari za ushindi wa Museveni. Niseme tu kwa nilivyouona uchaguzi huu hakuna tofauti na chaguzi za Tanzania au Kenya.
Wapinzani wanalalamika lakini ndio kawaida yetu tumezoea. Sikutarajia Uganda inaweza kufanya uchaguzi kwa ustaarabu niliouona.
Dosari ni kule Museveni kubadili katiba; ila ameonesha alishawasoma watu na akagundua asilimia 59 wanampenda. Sasa kashinda ila swali ni: Demokrasia ni nini kweli? Je ni ipi demokrasia ya kweli ya Magharibi au ya kifalme kama hii ya Museveni? Wananchi wa hapa wametoa jibu hebu soma matokeo kamili hapa
Basi hebu tuangalie mambo yatakuwaje?

No comments: