My Blog List

Tuesday, March 07, 2006

UGANDA BAADA YA UCHAGUZI

Kama kawaida hapa Uganda mambo ya siasa yanaendelea kuchacha. Museveni kashinda uchaguzi kwa mbinde. Leo mahakama kuu imetoa hukumu soma dhidi ya Dk Besyige kuwa hana hatia ya ubakaji. soma
Ni aibu kwa Museveni tena lakini yeye anaendelea kujitapa katika makala aliyoiandika mwenyewe leo magazetini hapa soma. Pia leo imeandikwa makala juu ya udhalimu wa serikali ya Museveni kutumia jeshi kwa manufaa yake binafsi na kuvunja katiba. Hebu soma uone udikteta ulivyokomaa.
Ni wazi majaji wa hapa wako makini kwani serikali inapoteza kila kesi si kawaida lakini ndio hali halisi bonyeza

No comments: