My Blog List

Wednesday, January 30, 2013

JESHI KUCHUKUA SERIKALI UGANDA?

Kuna kila dalili Rais Museveni anazeeka na hataki madaraka yaende kwingine zaidi ya taasisi pekee anayoiamini: Yaani Jeshi la Uganda. tayari kaonesha kuwa atatengeneza mapinduzi ya kijeshi; kwa maana nyingine atajipindua mwenyewe ili madaraka yabakie chini ya jeshi akiamini itampa wakati mzuri wa kkustaafu.

No comments: