My Blog List

Wednesday, January 02, 2013

MBUNGE MACHACHARI AUAWA UGANDA

Kama ilivyo kawaida kwa siasa za Africa, ukiwa mwanasiasa wa kiafrika, usijaribu kusimamia maslahi ya umma hadi utishie maslahi ya watawala. Watakukolimba, ndivyo inavyooonekana huko Uganda. Mbunge mwanamke,na kijana mdogo, msichana bado mbichi kabisa CERINA NEBANDA amefariki katika mazingira ya utatanishi mkubwa. Ni mbunge ambaye alikkuwa miongoni mwa kundi la wabunge wa chama tawala NRM waliojulikana kama Rebels au Waasi" kwa ukosoaji mkubwa wa serikali ya chama chao. Kifo hiki kimeleta msuguano kati ya Serikali ya Museveni na wabunge na inaonekana kuna wabunge wanafanya juhudi kwa serikali kufanya juu chini ili ripoti ya kifo hiki ijulikane kisayansi.

No comments: