My Blog List

Wednesday, January 30, 2013

ALIYEPIGA RISASI YA KWANZA UKOMBOZI WA UGANDA

Generali Elly Tumwine ndiye askari aliyefyatua risasi ya kwanza kuashiria vita ya ukombozi wa Uganda chini ya chama cha Rais Museveni NRM wakati huo kikiitwa NRA. Huyu bwana ana mengi ya kuyafahamu na ni jinsi gani anajisikia kuhusu maendeleo ya Uganda kwa sasa.

No comments: