My Blog List

Tuesday, January 29, 2013

GESI YA MTWARA NA HISTORIA YA UKOMBOZI WA WANYONGE

Vita kati ya Matajiri na Masikini Tanzania ndiyo taswira ya yanayojiri kule Mtwara. Jenerali Ulimwengu anamulika jambo hili na anaonya matajiri (elites) wakae chonjo. Anakazia na kukumbusha historia tangu enzi ya Wayahudi utumwani Misri hadi Ubepari mkongwe kwenye viwanda vya Nike kule bara Asia, masikini wanateseka na ni wengi kweli ila mapambano yao yanaendelea. Ni vita iliyopitia enzi za The Magna Carta (1215), Oliver Cromwell’s rebellion (1640s)hadi The French Revolution (1789)iliyowakomboa wanyonge lakini moto wake ukazimika na Russian Revolution (1917). Je nchi yetu itaweza kuondokana na tatizo hili tukizingatia kuwa tawala za kiafrika nyingi ni mawakala wa mabepari?

No comments: