My Blog List

Wednesday, March 02, 2011

GHADAFI SASA ANAHANGAIKA

Nimekuwa nikimtizama Moumar Gadafi akihutubia hadhara fulani mchana huu jijini Tripoli. Analaumu UN kuweka vikwazo na pia anasema eti Libya hakkuna watu wanaompinga ila kkuna uvamizi wa Al Quida tu.
Kama mtu ulifuatilia wakati Sadam Hussein alipokuwa anakaribia kufikia kilele cha utawala wake ni mfanano na jinsi ambavyo Gadafi anajaribu kufanya. Ninaamini kabisa, pindi ambapo Marekani na washirika wake wakiingia Libya basi tutairejea ile Movie ya Sadam Hussein. Pamoja na kwamba kuingia kwa Marekani kutaambatana na maslahi yake kiuchumi, lakini ni vyema waingilie ili madikteta wa Afrika wafunzwe adabu.

2 comments:

B2S said...

Ndo mwisho wa maraisi kama hawa wanataka kushika kiti mpaka kufa haifai namna hii.

Rastreator said...

Hello my friend! I wish to say that this post is awesome, nice written and include almost all important infos. I’d like to see more posts like this