My Blog List

Monday, November 17, 2008

WAAFRIKA TULIVYO WATU WA MIZENGWE

Kumbe Obama angelikuwa anagombea Africa asingelishinda? Unajua kwanini? Pia hebu ona jinsi ambavyo Obama alivyotimiza ndoto za Martin Luther.

Kwa ushindi wa Obama tunajifunza kuwa siasa pia ni sifa za mgombea si fedha tu na umaarufu wa mtaani na kishabiki.

No comments: