My Blog List

Saturday, November 08, 2008

JANET MUSEVENI MWANAMAMA SHUJAA?


Huko Uganda kuna skandali kubwa juu ya ufisadi wa mawaziri wawili ambao ni watu wa karibu wa Bwana Museveni. Jamaa kaamua lazima wasafishwe na wabunge wa chama tawala hivyo akaitisha wabunge wa NRM ili kuwekwe mkakati wa kuwasafisha mafisadi. Kilichotokea ni kituko kwani Mke wa Museveni ambaye ni mbunge wa chama tawala alipinga maamuzi na ushawishi wa mumewe kuwasafisha mafisadi. Je unajua kwanini?
Pia baada ya Obama kuchaguliwa Rais wa Marekani, sasa ni wakati wa kupambana na chumi zinazokuwa kwa kasi huko Asia.

No comments: