My Blog List

Saturday, November 08, 2008

KWANINI MUSEVENI ANAKINGIA MAFISADI KIFUA?

Niliwagusia jinsi gani Museveni anavyotumia mbinu za vyama tawala na dola katika kuwahifadhi mafisadi. Hebu ona jinsi gani alijaribu na akafanikiwa kuwakingia kifua mawaziri wake wawili mafisadi. Pia kuna sababu mbalimbali zilizopo nchini Uganda ni kwanini Museveni anahakikisha lazima hawa mabwana wasafishwe.
Si hayo tu, ila kwa wanaoelewa huu mchezo wa Museveni ni kwamba kwa sasa watu ambao wanatarajiwa kumrithi Urais wamebaki mmoja tu baada ya mmojawapo kuwa kati ya hawa mawaziri fisadi wawili.

No comments: