My Blog List

Tuesday, April 01, 2008

MAJENERALI UGANDA MATUMBO MOTO

Kwa wale masekretary wa vibosile basi wajifunze ni jinsi gani kazi hiyo imejaa ufisadi kutoka kwa sekretary wa Museveni.
Kuna skandali kubwa dhidi ya maafsa wa jeshi la Uganda kwa kuajiri askari hewa: unalijua? Msome pia kinara wa skandali hilo Jenerali James Kazini, ni yule aliyewahi kushtakiwa na Umoja wa Mataifa kwa kuibia DRC rasilimali.

No comments: