My Blog List

Sunday, April 27, 2008

AJALI YA NDEGE - MOSHI

Nilikuwepo ndege ilipoanguka Moshi maeneo ya jirani na kiwanda cha mafuta BP. Watu wawili walipoteza maisha yao: Rubani (Mbongo) na Mzungu mmoja. Wengine wawili walijeruhiwa.Ilikuwa ni Januari mwaka huu.

1 comment: