My Blog List

Wednesday, June 20, 2007

RIO FERDINAND -KAMPALA

Rio Ferdinand wa Man United alikuwa Kampala wiki iliyopita kuona maendeleo ya kituo cha michezo ya vijana anachofadhili yeye na baba yake.Nimecheka kumsoma baba wa Ferdinand haiba yake.Uganda nayo yachemsha kuna hatari isifuzu kwenda Ghana.
Tunakumbushwa pia ni nini changamoto za jumuiya ya Afrika Mashariki?Pia je ni kweli juhudi zote za kuunda jumuiya ya Afrika Mashariki zitaondoa umasikini?
Pia serikali ya Sudan imeanza uchumguzi dhidi ya mauaji ya John Garang.

No comments: