My Blog List

Saturday, June 02, 2007

Kwanza nikumbushe tu kuwa watawala wetu wanafunga midomo a wananchi tusizungumze. Nilionehsha makala moja wiki mbili zilizopita lakini Ndesanjo akaniambia nimekosea viungo vyake.Nataka niseme sikukosea nadhani jamaa walifunga kiungo kisifanye kazi lakini alieandika yuko hapa kaandika ni kwanini nilitaka msome mjue uhuru wa habari unavyoogopwa.
Leo ni kandanda hapa Afrika Mashariki, Kampala Uganda inaavaana na Nigeria mechi ambayo ni lazima waganda washinde kocha maarufu Ugannda anasema hivyo. Na huko Mwanza Taifa Stars ni lazima washinde la sivyo ni kusahau safari ya Ghana. Sina matumaini sana kwani kiwango cha timu yetu ukilinganisha na Senegali tutegemee maajabu ili kushinda.

No comments: