My Blog List

Saturday, June 23, 2007

MACHUNGU YA LRA

Kama unataka kujua ubaya wa vita kule Uganda kaskazini basi msome huyu mama alivyoathiriwa na waasi wa LRA.
Museveni kaanza kubadilika, anathubutu sasa kuwakamata mawaziri wala rushwa ambao waliaminika kama wasioshikika(untouchable), je unajua kwanini?Wiki iliyopita jumuiya ya Afrika Mashariki imezipokea Rwanda na Burundi, je kuna manufaa?

No comments: