My Blog List

Wednesday, June 20, 2007

MALKIA WA UINGEREZA HATANG'ATWA NA MBU UGANDA NG'O!

Ama kweli tuna kazi Afrika, yaani Malkia wa Uingereza-Elizabeti atazuru Uganda na serikali imeanza juhudi kusafisha kwa kupulizia dawa maeneo ya karibu na atakapolala ili asijeambukizwa Malaria. Kumbe tunaweza zuia Malaria Afrika?
Vita dhidi ya Rushwa Uganda inaongozwa na mwanamama matata kwelikweli.Pendekezo ni kwamba waheshimiwa wetu wanapohusishwa na rushwa basi wajiuzulu.Soma pia mapendekezo ya nnini Uganda ifanye ili iepuke dhahama baada ya kugundua mafuta.

No comments: