My Blog List

Wednesday, February 14, 2007

WIZI WA MITIHANI UGANDA

Wakati nchini Tanzania tuna wabunge na mawaziri wenye tuhuma nzito za kudanganya juu ya masomo au shahada zao huko nchini Uganda wabunge hawako tayari kufanya hayo ama kuruhusu watu kuiba mitihani. Wanachukua hatua inapobidi.
Soma juu ya jinsi siasa ulivyo mchezo wa kufanyiziana: kuanzia Afrika mpaka India na hata Ulaya. Ni mchezo mchafu sana ninavyoamini. Pia niliwahi kuandika juu ya Profesa Mamdani akitusihi Wabongo tuachane na mikopo ya kusoma chuo kikuu, leo kaja na makala nyingine juuu ya hili. Na mwisho kafunga mjadala wa elimu chuo kikuu.
Pia ni vipi ilivyo muhimu kusaidia Wasomalia: unajua PAN Africanism?

No comments: