My Blog List

Saturday, February 17, 2007

WANASIASA NI FEDHULI KULIKO NYANI

Tabia za mwanasiasa yeyote hazina ukweli wala uaminifu, inasemekana wanasiasa ni wadhalimu kuliko hata nyani.
Bado mammbo ya Rwanda nayaona kama kizungumkuti. Ninapata hisia labda akina Kagame wanamsingizia tu mke wa Habyarimana. Sina imani kuwa kuna chuki za magharibi dhidi ya Rwanda.
Museveni ni bingwa wa siasa kwa kuweza kuchanganya siasa na utawala wa kifalme kufanya kazi bila matatizo.Lakini pia zipo gharama za kuzuia matatizo yaliyotarajiwa mfano haya.
Huwa napenda KANDANDA pia;eti meneja wa Chelsea anadai watatwaa ubingwa, je inawezekana?
Kwa wale makapera kama mie: je kuna ulazima wa kuoa?

No comments: