My Blog List

Saturday, February 10, 2007

MATOKEO YA KIDATO CHA NNE--2006

Eti waafrika ni watu wasiweza kuendelea hata wafanye nini, je ni kweli?
Kuhusu elimu huu ndio msimu wa wale wa shule kufurahia mavuno yao.Matokeo ya mwaka huu ni haya hapa.
Pia je unajua kuonesha uwazi wa sehemu zako ni makosa hadharani?
Wakati Wabunge wa Uganda wanabishana juu ya kupeleka askari huko somalia inasemekana ni faida kwa Uganda.\\Pia ni kwawaida kwa walarushwa kulindana, kama uliwahi kusikia kashfa kubwa ya waziri wa Uganda sasa kaula, kapewa tenda na rafikie Museveni.

No comments: